Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Nakuombea mimi
Nakuombea mimi
Nothin to complainMeamka salama mimi jamani
Waionaje khalii

Nimetega dada, ila kesho mapema sana misa ya kwanza.Hujaenda jumuiya wewee
God's always great!Nothin to complain
Otherwise wewe tu ndo wakosekana
Aahaa!!Nimetega dada, ila kesho mapema sana misa ya kwanza.
Hahahaha, Mzee mwenzangu pole
Nishaanza maombi kitaambo!! Ila akifika salama asisahau sadaka!
Hahah...God's always great!
Nipo hapa mimi jamani, halafu nakuona unafukua makaburi ya wageni tuu kule!!
HahahahahahaHahah...
I used to hang out in there back then before i left JF for sometimes...
So kinda tryin to revive the old habit...









Yaani mwandiko wa kike kabisa.


Na me ni wakike pia 😂😂Yaani mwandiko wa kike kabisa.![]()
ndio au we katekista 😂😂😂😂
Mbona dada mchungaji tena!!
Muweka hazina jamanindio au we katekista![]()
Mkuu hali mbaya....hakuna dalili ya kuchomoka hapa.Teh teh teh Rojan kwahiyo umeamua kuizima kabisa
Mzee hizi gari zinazochagua vituo vya mafuta pasua kichwa....Hahahaha, Mzee mwenzangu pole