Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Iko wapi kwanza hiyo mali!Mimi nimetamani mali (sijui ni za nani), nitapata dhambi?
Iko wapi kwanza hiyo mali!Mimi nimetamani mali (sijui ni za nani), nitapata dhambi?
Same to you
Hirizi kama zote... Nimezichukua zote kuongeza mtaji![]()






Najua mimi tu!!Iko wapi kwanza hiyo mali!
Unanicheka kweli kaka
Basi ni dhambiNajua mimi tu!!
MmmhhhPoa subiri za Leo
Nakuja kukuchukua tutoke honeyNimetamani mimi

HahahaJumuiya kabla ya morning glory?![]()
Hekima ya hali ya juu![]()
Amemaanisha toka uniahidi picha hujawahi kuweka😁😁😁Amemaanisha nini kwani!??
HahahahahahaHem' fanya siku moja utupie audio unavyoongea![]()