Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hujaniaga Lizzy 😒😒 nakufata
Njoo uniongezee uvumilivu maana nshachoka 😵😵
20220928_140324.jpg
 
Ndio babuu naogopa kugechwaaaa!! Lol itabidi usafiri nae sasa unamuachaje bibi aende pekeake Lakini huko Mjini kumeharibika babu jipange muende wote Babu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
Sina wasiwasi na Bibi yenu,

Unajua tumeshazeeka saivi na kikubwa Wazee tuna slogan yetu kuwa "Kitanda Hakizai Haramu"🤪

As long tumeoana basi watoto wote ni wangu hata kama ni matokeo ya mechi zako za kirafiki huko nje 🤪💪

Ninyi Vijana ikitokea hiyo hali basi na ndoa inavunjika hata kama Ina wiki 8🙆
 
Sina wasiwasi na Bibi yenu,

Unajua tumeshazeeka saivi na kikubwa Wazee tuna slogan yetu kuwa "Kitanda Hakizai Haramu"🤪

As long tumeoana basi watoto wote ni wangu hata kama ni matokeo ya mechi zako za kirafiki huko nje 🤪💪

Ninyi Vijana ikitokea hiyo hali basi na ndoa inavunjika hata kama Ina wiki 8🙆
Kweli wazee mna busara sana babuu hongereni sana!!
 
Kweli wazee mna busara sana babuu hongereni sana!!
Amen Mjukuu

Ndiyo maana ndoa zetu Wazee zimeweza kudumu miaka mingi pamoja, Mimi na Bibi yako mwezi Ujao tunatimiza miaka 53 ya ndoa yetu and still tuna loviana 🤪
 
Back
Top Bottom