Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapana babuu huko napaogopaaa!! Bhoke Awamu hii akuje mjini nayeye!! Msalimie sana bibii jamanii
Hahahahaha.........unaogopa wataku Ghecha 🤪🤪

Bibi yako nitamsalimia ingawa nayeye ana safari ya kwenda Mjini kusalimia Wajukuu zake, na ninavyo mjua atabaki kusalimia huko Mjini mpaka Mwakani 🙆

Upweke utaniua Babu yenu na hivi nimezoeshwa kuoga Maji ya Moto 🙆🤪🏃🏃🏃
 
Hahahahaha.........unaogopa wataku Ghecha 🤪🤪

Bibi yako nitamsalimia ingawa nayeye ana safari ya kwenda Mjini kusalimia Wajukuu zake, na ninavyo mjua atabaki kusalimia huko Mjini mpaka Mwakani 🙆

Upweke utaniua Babu yenu na hivi nimezoeshwa kuoga Maji ya Moto 🙆🤪🏃🏃🏃
Ndio babuu naogopa kugechwaaaa!! Lol itabidi usafiri nae sasa unamuachaje bibi aende pekeake Lakini huko Mjini kumeharibika babu jipange muende wote Babu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
 
20220928_115432.jpg
 
Back
Top Bottom