Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Mazimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!Sema kuishi na mwanamke mmoja inahitaji uwe na moyo sana, πππ nimejaribu nimejaribu nimeshindwa acha waingie darasani wasome.. πππ
Mazimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!Sema kuishi na mwanamke mmoja inahitaji uwe na moyo sana, πππ nimejaribu nimejaribu nimeshindwa acha waingie darasani wasome.. πππ
π π π π π π Acha tu, nasubiri text ya goodnight wapiiiMazimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!
Hahaha, ukweli mchungu huu. Mwanamke mmoja hatoshi ni basi tu wakoloni walituweza kwa hilo.Sema kuishi na mwanamke mmoja inahitaji uwe na moyo sana,nimejaribu nimejaribu nimeshindwa acha waingie darasani wasome..
![]()
njoo miccasa ubungo hpKwa Magufuli
HivyohivyoUkimaanisha nini Anne
Kazi sana, yani! Tukirudi ndani kuwa na mke mmoja ni swala la ustaarabu zaidi, ila mmoja unakaribisha stress, unaweza acha kila siku hasa kwa sie wengine wenye hasira kama rhino au nyati π πHahaha, ukweli mchungu huu. Mwanamke mmoja hatoshi ni basi tu wakoloni walituweza kwa hilo.
Pale pananoga zamani kulikuwa na wachumba pale road bado wapo ππnjoo miccasa ubungo hp
Good night tena kitu kiko site mjomba unazinguaaa!! Toka online kwanza go and actttttt... focusssssss selfika tupo tu utatukuta!π π π π π π Acha tu, nasubiri text ya goodnight wapiii
πππππ Nisukumize ndaniGood night tena kitu kiko site mjomba unazinguaaa!! Toka online kwanza go and actttttt... focusssssss selfika tupo tu utatukuta!
Kwani nimekufanyaje tena Anne, hata hivyo mzigo wako ushamfkia Mr.Hivyohivyo



Kikao chemaaaa πππ!!Hahaha, ukweli mchungu huu. Mwanamke mmoja hatoshi ni basi tu wakoloni walituweza kwa hilo.
Duhnjoo miccasa ubungo hp
hahahaha.Duh
Unanipigisha rivasiπ€£
ππππππKwani nimekufanyaje tena Anne, hata hivyo mzigo wako ushamfkia Mr.![]()
Kuwa na mwanamke mmoja ufe mapema, wakiwa wawili walau stress zinapungua. Sema unaweza toka nje ukakutana na mabalaa pia tricky!!Kazi sana, yani! Tukirudi ndani kuwa na mke mmoja ni swala la ustaarabu zaidi, ila mmoja unakaribisha stress, unaweza acha kila siku hasa kwa sie wengine wenye hasira kama rhino au nyati![]()
Acha uzembeee!! Toka hapaaaa tumekupa off bana!πππππ Nisukumize ndani
Mwendokasi zishaishahahahaha.
hahahahahaha.kn boltMwendokasi zishaisha