Supu ya samaki huwa na enjoy mwanza, napenda wanawake bamia na nynya chunguu mingii, na mboga mbogaa, msamaki huoo.. Nikikaa wiki mbili huwa natoka kitambi ππ
Unajua mdg angu........aaah unajua mdg angu......mim mama angu alivyougua tu nikakosa pesa ya kujiunga na chuo Kuna hao ma kaka upande wa baba nkawa nawaomba pesa niongezee nilipie ada na mambo madg madg kila siku ikawa unajua unajua.........Tokea siku hyo sijawai wapgia sim wakiniuliza hivi unaish wapi nije kukutembelea na mim hua ntawaambia unajua unajua unajua