Selfika na JF: Snap it. Show it

SIKU NIKIMALIZA ONE YEAR IN "A" RELATIONSHIP LAZIMA NITACHINJA MBUZI..!

Ila hapa naona mpka ndoa huyu yolly yolly
wangu hajui kukasilika hajui kununa hana wivu ni mcheshi ninachompendea anapenda niwe naenda kulala kwao
Yani mliopo single Muda wote mnakuwa na hasira
 
Ukifikisha mwaka niite mbwaa nimekaa hapa hapaπŸ˜„πŸ˜„
 
Kuoa wewe mwenyewe si unaona ulivyonipa makavu, sinq hela wala kazi, zaidi ya kulelewa home.. Maana mama siku aki charuka nafukuzwaa nitapeleka wapi toto ya watu 😊😊
Unataka niwe wife material kama kwenye bongo movies nikuigizie β€œ amna mume wangu tutalala ata chin kwenye vibaraza vya watu mm ntakua mama ntilie ntabangaiza mpaka ije siku yetu πŸ˜πŸ˜πŸ˜β€¦ hheeehhhee
 
Unataka niwe wife material kama kwenye bongo movies nikuigizie β€œ amna mume wangu tutalala ata chin kwenye vibaraza vya watu mm ntakua mama ntilie ntabangaiza mpaka ije siku yetu πŸ˜πŸ˜πŸ˜β€¦ hheeehhhee
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Hapo nitanyanyasika tukipata mali, utaanza kusema heee, bila mimi usingefika hapa bila mimi usingejengaaa sitaki hayo masimango, acha nipambane tu, usije ninyanyasaa mie buree
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Hapo nitanyanyasika tukipata mali, utaanza kusema heee, bila mimi usingefika hapa bila mimi usingejengaaa sitaki hayo masimango, acha nipambane tu, usije ninyanyasaa mie buree
Hehehehe ntajaribu kutokunyanyasa ntajaribu lakinπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†ila masumango lazma yawepo we uvumilie tuu
 
Umeliwa kijana ,jiandae kwa K.OπŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…