Kweli??Weee huku kubwa 35 ndogo 25 acha mambo yako a@cocastic najuaaa
Hapa nilipo hio ndio beiii lect !Kweli??
Ila wewe kweli wife material😇Sawa
Yupo Mungu atakutoa huko.
Titaachilia upako na hautakunywa tena.
Ahaaa JD wanazalilisha JD🤣Hapa nilipo hio ndio beiii lect !
Wala ata najionea mapicha picha tu kwa iyo maandishiUmeelewa nilichoandika hapo? Sema kweli!![]()
umepiga hatua moja looks like unamcrush eeh .
Lini upo tayari tufanye maombi?Ila wewe kweli wife material😇
Anza sasa hivi...2moro will be too late!Lini upo tayari tufanye maombi?
Nahitaji tuombe mm na wewe.Anza sasa hivi...2moro will be too late!
Hiyo yako ulinunua bei ganBei inategemea na sehemu![]()
Nahitaji tuombe mm na wewe.
[/QUOT]
JD ipo kichwani now. Tufanye kesho mapema!
Ndo nna kimuhe muhe semester ikuje, nimuoneee live na atamke aliyotamka leo.umepiga hatua moja looks like unamcrush eeh .
muda utajibu , ngoja semester ianze
Mkuu mida ya miziki mizuri😊