Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,150
- 28,861
Nitaselfika usijali
Nitaselfika usijali
Don't worry
HeeHahahahaha yupo ivi mwamba..
Kama masihara tu kanirudisha jf Tena
Wivu adi nimeshindwa kuvumilia nisije babewa,abiria chunga mziko wako.


Sasa hivi?🙄
Niko hapa nimetulia tuliii nakula karanga tuu nawacheck wala hawezi kunitaja baby wangu qeen jojoHee
Mtaje mtajeeeeee shemegi![]()
Hilo paja jeupe liko wapi mbona silioni mama wa mizagamuo
Hilo paja jeupe liko wapi mbona silioni mama wa mizagamuo
Cc sophy27
Umeptwaaaaa, afu wee vocha ulizoweká zote hapa sijapataa,. Sasa nataka vocha halotel ya 2k na voda ya 2k.Hilo paja jeupe liko wapi mbona silioni mama wa mizagamuo
Atakuwa kafutaHilo paja jeupe liko wapi mbona silioni mama wa mizagamuo
Hili vazi la dark blue ni kitengo gan? Maan green najua Surgeon. Nielewesheer
Aunt sophy27 kimbia umuone dr anafanya operation
Mochwari😅😅Hili vazi la dark blue ni kitengo gan? Maan green najua Surgeon. Nielewesheer
Umetokolezeaaa.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Nafuta😅Aunt sophy27 kimbia umuone dr anafanya operation
Dokta hansham na dimpoz ndo maana msukuma ananuna😂😂😂