Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni swala la mda tu, kurudi kwako kutakuwa kwa kishindo🀣🀣, usije kuparamia dada zetu tu haha!!
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Hii ya mwisho sitorudia tena, nakumbuka nilisha kaa miaka miwili, Siku nilipo jichanganya hadi nikabaki najiuliza ni mie huyu au naota.. But sasa hivi nime dhamiria 100%.. Sasa hivi nimekuwa kabisa usher wa kanisa flani asubuhi tu unanikuta nasafisha vyoo, ili Mungu anitie nguvu ya kushikilia hapo hapo
 
Hongera, kama vipi vita jiko ule kwa uhuru na haki kikatiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…