Hii ya mwisho sitorudia tena, nakumbuka nilisha kaa miaka miwili, Siku nilipo jichanganya hadi nikabaki najiuliza ni mie huyu au naota.. But sasa hivi nime dhamiria 100%.. Sasa hivi nimekuwa kabisa usher wa kanisa flani asubuhi tu unanikuta nasafisha vyoo, ili Mungu anitie nguvu ya kushikilia hapo hapo