Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Sasa unasubiri nini kumpaWe Wigelekelo kumbe ulikuwa unang'ang'ana na namba yangu ili uniringishie sauti eeeh?

Sasa unasubiri nini kumpaWe Wigelekelo kumbe ulikuwa unang'ang'ana na namba yangu ili uniringishie sauti eeeh?

Me napenda, ila sio baharini.Nicheze na maji?
Hapana
Hata hayo maeneo umekaa siwezi kalisha tako langu karibu na majiMe napenda, ila sio baharini.
Huko napaogopa
Boss Mkubwa,Mzungu wa nafsi na roho
Mwenye seat yake tayari Mbinguni,Tena seat yake ipo Karibu na yangu
Mr Mjep
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app






jaman mpeni vocha tu ich huyu huu ni uchawa pro max extra 










AsubutuuSasa unasubiri nini kumpa![]()
Dogo janja anaona aibu

mmemfanya nn jaman au anataka ice creamMjep Mzungu wa roho,nikitaka muda wowote atanipa tujaman mpeni vocha tu ich huyu huu ni uchawa pro max extra
![]()
Mwambie basi atume vocha hapa shemejiMjep Mzungu wa roho,nikitaka muda wowote atanipa tu



Mimi zangu Nikitaka kuomba siwezi kupigania hapa 😂Mwambie basi atume vocha hapa shemeji![]()
Wacha tu tuenjoy hamna namna😅
Sasa siunatumia crdb acha upokee smsNifanye aje hapa?
Nataka kuwajibu CRDB kuwa Sina madai
Wamezidi kiherehere Cha kunitumia meseji




Mm napendaga sms ya crdb ile ya umepokea kiasi fulan kwenye account 015xxxxxxxxNifanye aje hapa?
Nataka kuwajibu CRDB kuwa Sina madai
Wamezidi kiherehere Cha kunitumia meseji




Hata mimi naipendaga sana😍Mm napendaga sms ya crdb ile ya umepokea kiasi fulan kwenye account 015xxxxxxxx![]()
Ujue nimecheka mpka Gari imeniachaHuyu Putin atakuwa pembeni Ya Mjep
Yaani Mjep atakaa seat ya kati anatupasia vocha na tunaingiza Kwa raha zetu
Wale walafi wa vocha wote waliotupokonya vocha alizotupa Mjep hapa,hawatakuwepo kwenye zile seat .
Nasema uongo ndugu yanguCarrasco putin ?
































mna uhakika huyu ni Saint Anne au pacha wakeSeat za Mbele kwenye nchi ya ahadi wanyang'anyi wote hawatazigusa
Nyie mapacha kabisa aki tena😂Hapana huyo amenishinda tabia![]()
Mimi sijifyatui kama Putin 😂😂😂😂Nyie mapacha kabisa aki tena😂