Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa exi ulivaba 🤣🤣🤣🤣😂😂

Yan hizo nyimbo zako mie hata sijawahi kuzisikia
 
Wanajali bana

Me mshua nilivyomwambiaga kuhusu Arusha akaanza na kusema Arusha mbali hamna kwenda.

Bado hata hujaanza kupauka , kaa hapa tafuta kazi Dar.
Nililiaaa 😭😭😭 hadi nikaruhusiwa ile ya kiroho safi
Wanajali eeh?
Njoo tubadilishane Kwa muda uone kama utaweza kuvumilia😂
 
Sijawahi aiseee 🤣🤣🤣

Labda wakati nafanya intern
Kuna Halmashauri nililazimishwa nikajitolee nilipo maliza tu.
Nilikuwa napewa nauli na hela ya kula mchana.. nazibahiliaa

Nilipopata first chance tu Arusha ndio mazimaaa
Huku gaharama za maisha zipo juu.
Yawezekana Hela ni nzuri ila gharama zinakuwa kuu kuzidi hela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…