Selfika na JF: Snap it. Show it

Dogo asili ya mwanamme ni utawala hakuna boma Lina mafahari wawili wakaacha kupigana ,angalia tu mfano mifugo jogii wakubwa wakiwa wawili watapigana mpk kutoana damu,ng'ombe pia n.k
Hvyo mwanamke ameumbiwa mme mmoja kiasili kabisaa,Ila mwanaume ameumbiwa wanawake wengi,hakuna taifa lenye watawala wawili ni mmoja tu ndo anatambulika

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kweli
 
So tunapaswa tuifate necha? Got you dada


So unatushaurije wale ambao we meet guys ambao tunaona kabisa they don’t meet our vigezo?

Tusiwaache? Alisema Alexprosper kwamba mwanamke anatakiwa akae hapo asubirie mume aje…

Sasa ndio ukazaliwa na nyota ya paka, wanaokufata we huwataki? Tunachomokaje hapo?
 
Tena hizo chaguzi zinakuja Sasa tu baada ya maendeleo ya sayansi na teknolojia,mwanzo sisi watu wa pwani ukiwa mwari unawekwa ndani hutoki mpk apatikane mume wa kukuoa ambae wazazi watamridhia ,haijalishi unamtaka au humtaki!ndani utakaa hata miaka 10(Kuna jirani yetu alikaa 17yrs ndani)mpk apatikane mume wa kuoa.
Kwa Sasa tunaacha hayo Mambo kulingana na Hali halisi ya maisha plus utafutaji Mali ,lakini bado mwanamke hatakiwi kua na Wanaume wawili wa kufanya machanguzi..we ngarangara lako komaa nalo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Unapima, ukiona utashindwana nae bora kusepa mapema ila usikubali kukaa na mtu just because unaogopa jamii itakuona mhuni.
Watu wananyanyasika hadi kuuliwa ndani kisa waliogopa kuchekwa. Ila amini tu utapata mtu mwema ambaye ni sahihi kwako.
 
Ni sahihi mwanaume ni kichwa cha familia.

Ila hapo kwa mwanaume ameumbiwa wanawake wengi naona kama tunawaendekeza na kukubali kukandamizwa sababu kuna mifano mizuri ya wanaume ambao ni wameweza kutulia na mwanamke mmoja na wamekua waaminifu.
 
Mbona Depal hafeki maisha
Sweetheart ake Mjep

Mimi natumia kifaa cha mawasiliano, nipige simu ziende, boss akituma email niione kwa wakati .. and picha kujisnap hapa na pale..

Hawa wqnaodhani mtu akiwa na simu yenye apple lililong’atwa kwa nyuma ni maisha bora ama anafake ni upuuzi tu umewajaa vichwani.


Kila simu zina matoleo kibaoo
Kuna tekno za laki 2 na kuna tekno za laki 7
Samsung Za laki 3 mpk milioni
Iphone za laki 3 mpk hizo za bei ya viwanja.

Ni mjinga pekee ndio atakaa aanze kujaji kwa kupimisha aina ya simu na mfuko wa mtu na maisha yake.

Ed wetu shoga angu ana Iphone Ambayo haina zile pro wala pro max.. utapata picha ni anayo ipi.
Perdiem zake tu na allowances unaweza kuta ni mshahara wa mtu kwa miezi mi3 afu huyo mtu ako na iPhone 13

Hehehe duniaa hii jamani
 
Ni sahihi mwanaume ni kichwa cha familia.

Ila hapo kwa mwanaume ameumbiwa wanawake wengi naona kama tunawaendekeza na kukubali kukandamizwa sababu kuna mifano mizuri ya wanaume ambao ni wameweza kutulia na mwanamke mmoja na wamekua waaminifu.
Tunazingua kushikilia necha za mchongo hakiii
 
Kuna uzi huko ndio umenipa hilo swali…


Wanaume wana tabia mbaya sana
 
Kweli simu sio kipimo cha level ya maisha kabisa
 
Nature ya mwanaume ndo iko hivyo anauwanja mpana wa kuchagua kutoka kwa wanawake alio nao na kijamii ndo inatambua hivyo akikuta mmopawapo yuko hivyo ana mabwa na yeye wengi ana kudrop chapu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…