National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,202
Pale pale floor ya pili namba 210 😆😆😆Ukwapi kwanza🤣🤣
Pale pale floor ya pili namba 210 😆😆😆Ukwapi kwanza🤣🤣
Hamfiki tu.....?
Ninalo la mabatiUnatembea?
Nilijuaga una gari
TumefikaHamfiki tu.....?View attachment 2357990
Nipo mlangoni tufungulie 🤠ðŸ¤Hamfiki tu.....?View attachment 2357990
Huyo mtu nae sio mstaarabu, utasogwzaje vitu vya watu kiholelaNinalo la mabati
Sasa mchana ile nimepack chini ya mti Sijui nani akaamisha akanisogezea juani…
Wakati natoka kilikuwa cha moto hata siwezi kukipanda.
Ndio nikaenda hapo Nalopa sheli kukimwagia petrol
Sasa nawasha gari la chuma naenda kununua chips 🤣Huyo mtu nae sio mstaarabu, utasogwzaje vitu vya watu kiholela
Hapana, inatakiwa sometime upige zoezi ndio mwili uwe fitSasa nawasha gari la chuma naenda kununua chips 🤣
Nipo namsubiri Lenie aje anile 🤠🤠ðŸ¤Aah mekumbuka
Saa 1 inakaribia
Weuhhh! Waiting for you nyonyoma 🤣
😂😂😂😂 nakaziaaaIla wahenga nao walikua na misemo
View attachment 2357974
Sitaki kuwa fitHapana, inatakiwa sometime upige zoezi ndio mwili uwe fit
Wako wapi love birds? Au wamepiga usingzNipo namsubiri Lenie aje anile 🤠🤠🤠View attachment 2357997
Kwahiyo unangoja kuliwa 😂😂😂Nipo namsubiri Lenie aje anile 🤠🤠🤠View attachment 2357997
Kwa niniSitaki kuwa fit
Sitaki kukomaaKwa nini
Sijui hata waliwaza nini😂😂😂😂 nakaziaaa
Kubebelea usiyoyajua vizuri utaanza kuchakaa ubongo mwishowe uanZe kutoka damu za pua
Nasubiri aje anile hapa 😆😆😆Kwahiyo unangoja kuliwa 😂😂😂
Mbona wengine hawakomai wewe una nini mpaka ukomaeSitaki kukomaa
Anything 😊🤠🤠🤠402 zatosha.. Nikupitishie nini