Aaaaah! Achaneni na emotions za kiwaki, maisha siku zote yanaendelea, upendo siku zote upo. Upendo hauwezi kukuacha na huzuni. Muwe majasiri. Anaekupenda hato kuacha na kama amekuacha ujue sio mpango wa Mungu wala wa shetani muwe pamoja 🤠🤠🤠
Ewaaa.. Unaweza lazimisha ukaletewa na ukimwi ndani 🤠🤠🤠 ebu tumieni akili vizuri, sio mzitumie kuchagia nguo nzuri tu na sio maamuzi mazuri, emotions alizo wapa Mungu ni kwa ajiri ya kumuimbia na kumsifu huku machozi ya uwepo yakiwatoka, sio. Machozi ya kumlilia abdalaaa acheni huo ujinga 🤠🤠🤠