Mimi Ndugu kuna masuala wakiamua kucharuana wanacharuana haswaa huko kwenye grupu la familia wanasemaaaanaa wanachambaaana wanajadiliiii mie kimyaaa midamida nakomenti kwa ufupi dada Zangu sasa ni wanaongeaa balaaa
Ndugu ukiweza kumpa; mpe kiasi ambacho unaweza kuafford. Ila kuna ndugu wazungu kwelikweli; wanakopa na wanalipa; Mungu awabariki kwa kweli. Kama unaomba omba ijulikane moja; sio unakopa afu kulipa hutaki kisa ni hela ya ndugu yako.