Selfika na JF: Snap it. Show it

Kaahh!hyo Kali ya kwako mi sijafikia level hizo bestiii
!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Bora unao wewe , mie sinaga hata
Nakuwaga bubu hapo , hata kwa vitu vingi napenda kufanya peke yangu .
Huwezi amini sina mashoga
Zaidi ya watu tuliosoma pamoja tu na yunaishi mikoa tofauti.

Hapa nyumbani yaani nikitoka kwenye mizunguko basi narudi nyumbani .
Majirani wengi tu rika langu ila ndio sizoeleki.
 
Umeandika kwa hisia km mchaga


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Huwezi amini sina mashoga
Zaidi ya watu tuliosoma pamoja tu na yunaishi mikoa tofauti.

Hapa nyumbani yaani nikitoka kwenye mizunguko basi narudi nyumbani .
Majirani wengi tu rika langu ila ndio sizoeleki.
Mie hata wa shule sina
Naowanaga tu huko kwa status
Mtaani nakazaa huyo , ni salami tu huyo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…