Wahindi wao dadekiii pesa inapakwa kwanza kinyesii ndio mnakopeshwa ukichukua tu kimaviii😁😬😬😬We ASA nuksi,jamani mi staki jamani vinatia stress
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Chagua nikuiite naniNiite jina zuri
Nawaonaga mna roho nzuriWeee mimi ni mnyaki ila hiyo roho sinaaaaaaa
Ww nichagulie jina zuri wanawake mnajua kuchagua majina mazuri mazuriChagua nikuiite nani
Heartthrob nakuitaWw nichagulie jina zuri wanawake mnajua kuchagua majina mazuri mazuri
Anne katuzidi. Unfortunately they are abusing her kindness.Nawaonaga mna roho nzuri
Anne amewazidi wote
Na hela anapata ila ametulia tuli.Fedha ni kipimo cha utu (IMO). Ukimess up na Tsh 10 yangu; nakufuta na kwenye maisha yangu. Mtu asiye na utu; hafai duniani wala akhera. Wewe kwa sababu ya utu; unajivisha viatu vyake na kuibeba shida yake kama ya kwako unamsaidia; lakini yeye hakumbuki kama ulimsaidia so afanye arejeshe. Worse enough ni wale unamkopa, anakuzungusha kulipa ilhali hela anayo; baada ya muda akipata shida anakuja kukukopa tena na ahadi za kulipa deni la kwanza juu. Kuna watu hawana aibu, hawana utu na hawana shukrani pia.
Hata sikuwepo😂Na ww umepata vocha
Hiyo siyo roho nzuri,,ni upumbavu 😂Eeh binadamu sie tuna shida sana
Ubarikiwe na roho hiyo kutoa
Wanyaki mna roho nzuri kweli
Sijalipwa hata sh mia😂😂😂Yani mwanaume ukimkopesha mwanamke hela akikulipa niite mbwa nimekaa pale
So sadAnne katuzidi. Unfortunately they are abusing her kindness.
Rudi utanikuta hapa nimekaa standNitarudi
Some people are ingrates and inconsiderate.Na hela anapata ila ametulia tuli.
Mimi siwezi kumdai mtu anayejua kabisa kuwa anadaiwa.
Si akamtuma na ndugu yake aje akope .Alivyoanza kuelezea akasema nimeambiwa na Fulani kuwa unaweza kunisaidia.😂
Nilivyomwambia mdogo wako akasema pumbavu zao usiwape tena hata mia🤣🤣🤣🤣
Acha tu.Anne katuzidi. Unfortunately they are abusing her kindness.
Kwa kweli. Haiwezekani mtu hakulipi afu bado unaendelea kumkopesha tena. Hapo sasa mwenye tatizo ni wewe na sio yeye tenaHiyo siyo roho nzuri,,ni upumbavu 😂
Ila sikopeshagi zaidi ya mara 2.Some people are ingrates and inconsiderate.
Ningekuwa karibu ningekushtua na kofi; washakuona poyoyo
Usiwape , wanyime dah maana sio poa .. uwe na kauchoyo kidogo .Hiyo siyo roho nzuri,,ni upumbavu 😂
Hahhaa usimpangie matumizi ya hela yake; hata kama ni mkopo🤣🤣🤣Acha tu.
Kuna kipindi ilikuwa inafika nakuwa Sina hata Hela ya kula, boom loote nimekopesha😂
Nyumbani wakaniambia wewe ni mpumbavu.
Nikiwa nikichukua hela zote namtumia mama.
Ananipa ya kutumia kila wiki.
Unajibana kula wali wa buku,unamhurumia mtu unamkopea elfu 10..badala ajibane ale chakula Cha buku siku 5 ,yeye anarudi na Chips yai mishkaki soda...Uliyempa hela unakula wali maharage.
Halafu kesho anakuja tena kuomba hela imeisha.
😣😣😣😣Pm au 🤣🤣🤣