Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
Aisee, ni sawa, ni vyema kula ule wakati unahisi njaa, kula kula hovyo si vizuri, au kula kukamilisha ratiba ya mlo kwa siku chai, lunch, dinner/supper , si lazima ule milo mitatu per day... we tafuta supper yako siku imeisha😊😊😊 Huu ndio chakula sasaa, sikuwa nimekula toka asubuhi nimeshinda kitandani.. Umefanya niamke hapa nisake chochote kitu


[emoji55
