Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,274
Furahi tu mjomba wangu maisha ndio hayahaya!!✌️Shangazi usijali si unajua mjomba wako ukimfurahisha anachangaamkaaa 😊😊😊😊
Furahi tu mjomba wangu maisha ndio hayahaya!!✌️Shangazi usijali si unajua mjomba wako ukimfurahisha anachangaamkaaa 😊😊😊😊
Ila jambo letu lipo pale pale🤠🤠🤠.. Acha nilale shangazi..Furahi tu mjomba wangu maisha ndio hayahaya!!✌️
Mkichagua saree wee nijuze mapema tu niandae mtroko mmoja mattatta sana mjomba!! Mie treinaaaaaaaaaahhh tuko pamoja mjomba 💃✌️✌️Ila jambo letu lipo pale pale🤠🤠🤠.. Acha nilale shangazi..
Weweee shangazi usinifanyie hivyo naja, nipo njiani 🤠🤠🤠Mkichagua saree wee nijuze mapema tu niandae mtroko mmoja mattatta sana mjomba!! Mie treinaaaaaaaaaahhh tuko pamoja mjomba 💃✌️✌️
Kuja wapi trena mjomba acha utani walai😳😳😳🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴!!Weweee shangazi usinifanyie hivyo naja, nipo njiani 🤠🤠🤠
Ohooo andaa kachumba ka mgeni hata ka uwani kule 🤠🤠🤠 uliniambie nije kulinda shamba serious 😊😊😊😊 na msosi pia niandalie tu mie mjomba wako a. K. A mgenjKuja wapi trena mjomba acha utani walai😳😳😳🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴!!
Chuma ya kung'olea bebi
Hizi nyimbo zilikuwa zinapigwa na mzee kila asubuhi wakati anajiandaa kwenda kazini.....Music ni kifaa kizuri sana cha kutunza kumbukumbu na kutukumbusha kumbukumbu ili zitunza
Kumbu kumbu nzuri sana hii. Kupitia music unaona mahala umetokea..Hizi nyimbo zilikuwa zinapigwa na mzee kila asubuhi wakati anajiandaa kwenda kazini.....
Hapo mimi niko shule ya msingi aisee......
Daaah, bahati mbaya sana zile siku haziwezi kurudi tena mazee......Kumbu kumbu nzuri sana hii. Kupitia music unaona mahala umetokea..
Nilikwambia ntakujulisha mjomba tulia kwanza sasa!Ohooo andaa kachumba ka mgeni hata ka uwani kule 🤠🤠🤠 uliniambie nije kulinda shamba serious 😊😊😊😊 na msosi pia niandalie tu mie mjomba wako a. K. A mgenj
Ohoo mie ndio nipo njiani 🤠🤠🤠..Nilikwambia ntakujulisha mjomba tulia kwanza sasa!
Hapo unafelii pakubwa mjombaaaa!! Fanya urudi kwanza ntakuita mjomba!!Ohoo mie ndio nipo njiani 🤠🤠🤠..
Sure, siku zinasonga. Maisha yanabadirika. Hapa imekuja picha ya mzee kitambo alikuwa kitoka dar na safari buti zake.. Ananiletea kahawa tunakaa tunachapa kahawa yetu pale safii 🙂🙂🙂Daaah, bahati mbaya sana zile siku haziwezi kurudi tena mazee......
🙄🙄🙄 Ntarudi kesho nimechoka na safari sasaHapo unafelii pakubwa mjombaaaa!! Fanya urudi kwanza ntakuita mjomba!!
Uko sahihi kabisa jirani...Nafanyia kazi.Fanya Unitafutie mtu mzima asie na mapepe sasa jirani nakupa hio kazi rasmi!