Selfika na JF: Snap it. Show it

Sie tunaka mbususu, nyie sijui mnataka kupendwa sijui kujaliwa na makololo mengine meeengi
Kitobo kitawaua mjombaa!! Wengine mtakufa huku mmesimamisha Hakyanani! Too much of anything is harmful mjue!!

πŸ˜·πŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈ
 
Kwaiyo shida sio Me au Ke, misingi imeharibika na mapokeo ya ulaya ( tumepokea vibaya). Ila leo hii wapo wanawake wazuri sana na wapo wanaume wazuri kabisa ndoa zao kama peponi, na wapo kama sie utapigwa matukio hadi ukate rohoo πŸ˜…πŸ˜…
Tuhitimishe kwamba shida iko pande mbili kwa mke na Mme.
 
Kitobo kitawaua mjombaa!! Wengine mtakufa huku mmesimamisha Hakyanani! Too much of anything is harmful mjue!!

πŸ˜·πŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈ
🀧🀧🀧 Usema kweli huu mwaka unaisha nimefanya mala sita tu..
 
Antonnia na kina Sophy hii natoa ndani ya dkk 5
View attachment 2347946
Waooooo 😘😘😘😘.So Beautiful sis potabo moja mattatta sana βœŒοΈβœŒοΈβœŒοΈπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ

Iiiigggweeeeeeeeeeeeeeee 🀸🀸🀸🀸😘😘😘😘
Mefurahi sana kukuona sis Santo sana 😘
 
Kitobo kitawaua mjombaa!! Wengine mtakufa huku mmesimamisha Hakyanani! Too much of anything is harmful mjue!!

πŸ˜·πŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈ
Na watakufa kweli na magonjwa sugu😁😁
 
Senkyu senkyuuu nafuta ushaona at least nimetimiza lengo la selfikaa
 
Tuhitimishe kwamba shida iko pande mbili kwa mke na Mme.
Na shida ipo katika misingi. Shida ipo kwa mwanadamu kuwa mkaidi mbele za Mungu. Tukirea kwenye Mwenyezi Mungu na tukawa na hofu ya kweli kwa kumcha hutosikia hizi shit, ila lazima uovu uwepo na nuru, kama wewe na na mwenzako mna hayo ndoa yenu ni mbinguni ya duniani.. Ndoa raha bwana weee ukipata mwenye akili timamu na muwe na akiki timamu, ila kama mkiwa vichaa kazi ipo
 
Niache mjomba πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£!!
Hahahah Umemsahau goals zako mwakahuu lakini??? What happened??? Ndiokwanzaaa September mwanzoni hii ujue
Mala sita kama sijafanya shangazi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… bado sija uchafua sana mwaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…