I have learnt not to correct people even when I know they are wrong, making everyone perfect sio jukumu langu, lakini yote kwa yote na kikubwa zaidi peace is more precious than perfection, so tuishi kwa amani...
Yaani wewe kama Mimi..sipendi kujiattach sana na watu..Mambo ya kuja kupigana matukio na marafiki Wala siyataki.
Naongea na kila mtu lakini muda mwingi nakuwa mwenyewe.
Yah nilipata stress.
Nikawaza huyu mbona ameamua hivyo wakati tulikubaliana vizuri kusubiri nimalize shule ndipo tuanze mambo mengine.
Zikaanza pilika pilika za ugomvi ili ipatikane sababu.
Nikagive up kweli.
Watu wakawa wanasikitika Hawa watoto vipi tena,akawa anajiwahi kuwa eti nilipoenda shule nikawa busy.
Sasa wazazi watupe ada halafu nizembee kusoma nidisco!
Masomo tu yalikuwa yananipeleka puta.
Mdomo komaa π·π·
Mapee yamewapata wenyeweee πππ
Weraweeraaaaaaaaaaaaaa... in cocastic voice!!
Inapendeza sanaaaaπ€Έ ππβοΈ Saint Anne sina budi kusema
"Kila lenye kheri mamaa"π
Tunakumbushana tu lakini
"love is a war ..it is a battle"
Taratibu utazoea.
Mimi mwenyewe rship ya mwanzo ilivyovunjika sikulala ile wiki japo hakuna nilichopoteza.
Nikikumbuka huwa nacheka jinsi nilivyokuwa zwazwa.