Ningeshusha nondo hapa za kueleweka. Niseme tu mtazamo wako ni pevu na sahihi. I wish mabinti wote wangekuwa na mtazamo huu chanya. Tungezuia desperation, depression na kuingia kwenye ndoa mfu! Uko vizuri sana Tinsley
Shida Sana changamoto tunazopitia
As if kuolewa ni kazi rahisi zama hizi .
Mtu inabidi ukae zako , akitokea wa kubeba sawa .. Kama sivyo uishi mwenyewe tu