Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot 2022-09-02 101408.png
 
Nipo shost 😂
Ngoja kwanza nimalizane na voda

Airtime ya efu 30 na kwenye simu haijafika.. nimevurugwaaaa

Risiti naisoma mara elfu kuhakiki namba
Ni yenyewe
Majina ni yangu
Lakini Vodacom hawanifikishii hiyo hela
Hatimaye umerudi, nilipata mashaka labda wasiojulikana wamefanya yao 😂

Emu wapigie kabla hawajakufanyia utapeli, au mambo ya network
 
Voda wameniambia hawajapokea pesa hiyo, so niwarudie crdb…

Crdb wananiambia nisubiri masaa 48
Jamanii nimekwazikaaaaa
Jamani mbona usumbufu huo
Na hapo usipofatilia wanaweza kukuzika 30 yako. Umecheki salio wamekata?
 
Back
Top Bottom