Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Angetoa basi taarifa tujue hatakua hewani.Si ni mtoko lakini? Halafu ndo mambo gani hayo ya kumuweka rafiki yako roho juu juu?
Hata ingekua ni wewe rafiki yako apotee ghafla af ni baada ya kupost picha yuko njiani ungepataje usingz kwa mfano.
Na saivi watu kila kona wanatekwa

