Yani mie Achilia hawa micharuko mabinti walio Wengi huwa nakaa nao vizuri tunakua kama nduguu Wengi huwa wanaondoka wakipata wachumba na wakiondoka tunaendelea kuwasimilia vizuri tu na wao sikuhizi ndio wananitafutia HG wengine huko makwao! Kama huyu nilienae ni Mdogo wa damu wa binti mmoja aliondoka kuolewa baada ya kupata mchumba kutokea hapahapa! Sema huyu dogo ake sijui ana maruhanii sijui mapepoo ni anatokewa na maruweruwe hadi nimeogopa ππ Siku ya kufungua naenda kumpandisha gari ππHiyo dhambi siweziπππ
Ila ni kazi nzuri sana.watu nikiwaambia natafuta kazi ya uhousegirl wanacheka,
Hawajui tu ilivyo nzuri.
Mie si mwanaume sasa Shangazi, hata kukulindia nyumba na mambo mengine madogo madogo nikusaidia utaangalia utachonilipa mie fresh tu ππsaivi sitaki binti Mjomba Dogo Mmoja boarding.. Junia Shule wanatoka saa 11 mimi kazini cha asubuhi na mchana tunakula job! Setake tena ntajua mrashia atakaporudi!
Yeah usiziache hovyo kama zile hata za yesu zikasome mjomba π€£π€£βοΈβοΈβοΈ!!Ushirikiano upo Shangazi πππView attachment 2340238
πππ ππ si unajua kidogo tunajaribu kuwa smart twaweza pata zariYeah usiziache hovyo kama zile hata za yesu zikasome mjomba π€£π€£βοΈβοΈβοΈ!!
Wakora muno waitu
"Mambo mengine madogo madogo"π€£π€£π€£π€£π€£π€£!Mie si mwanaume sasa Shangazi, hata kukulindia nyumba na mambo mengine madogo madogo nikusaidia utaangalia utachonilipa mie fresh tu ππ
watuuchome tu moto sasa ππSaivi kila engo ni wanapiga
Hahahaaa!! Wee mjomba nilikwambia tumia mbunu za kimafia bwana si huwa unahudhuria vikao vyenu kiumeni lakini mjomba unakwama wapi sijui!πππ ππ si unajua kidogo tunajaribu kuwa smart twaweza pata zari
Ujue Shangazi, ma houseboy huwa tupo smart sana kuliko ma house girl. Hutojutia niambie nije nianze kazi sito kuangusha kabisa"Mambo mengine madogo madogo"π€£π€£π€£π€£π€£π€£!
Wa kiume haijakaa poa mjomba!
ππ Vikao mambo wanayo jadili shetani akasome upyaHahahaaa!! Wee mjomba nilikwambia tumia mbunu za kimafia bwana si huwa unahudhuria vikao vyenu kiumeni lakini mjomba!!
Wewe ntakupa kazi za shamba site utakaa hukohuko kuna ka kibanda ka kurara mjomba Ukitaka kuwowa hukohuko niwewe tu! Tena Huku msimu wa kupanda umeanza mjomba wewe ndio utasimamia vibarua sasa!Ujue Shangazi, ma houseboy huwa tupo smart sana kuliko ma house girl. Hutojutia niambie nije nianze kazi sito kuangusha kabisa
And you are a born again person ausio!! Ishi humohumo tu mjomba no way!!ππ Vikao mambo wanayo jadili shetani akasome upya
Ewaaa nikuje lini sasa shangazi , nikate na tiketi mapemaaππWewe ntakupa kazi za shamba site utakaa hukohuko kuna ka kibanda ka kurara mjomba Ukitaka kuwowa hukohuko niwewe tu! Tena Huku msimu wa kupanda umeanza mjomba wewe ndio utasimamia vibarua sasa!
sema mwaka huu nitakulika uje ushudie ka jambo amazing kabisaππAnd you are a born again person ausio!! Ishi humohumo tu mjomba no way!!
Ntakujulisha mjomba ! Ngoja tufungueEwaaa nikuje lini sasa shangazi , nikate na tiketi mapemaaππ
Ingia playstore u download app inaitwa glasswire, utafahamu kama unaibiwa, lakini simu huwa zina background process nyingi na zinakula bundle cause zinatuma na kupokea taarifa, pia kuna apps huwa zinajiupdate, kama una iphone ni kawaida kabisa bundle kutembea...Af jf hata haili bando sana, insta labda.
Ni wanatuibia tu hamna kingine
Ameeeeennn!! Hallelujah!! Kama kuna sare uniambie kabisa nisikuangusheee mjomba wangu hio siku ntatokelezaaaa mwenye jambo lake akasome π€£π€£!! Mie treinnnaaaaaaa!ππsema mwaka huu nitakulika uje ushudie ka jambo amazing kabisaππ
Nitengezeshe na manati na upinde wangu, ππππ haya shangazi nitakukumbusha, hapo nitakuwa idara ya shambani eehNtakujulisha mjomba ! Ngoja tufungue
ππππ bado mwezi mmoko tu shangaziAmeeeeennn!! Hallelujah!! Kama kuna sare uniambie kabisa nisikuangusheee mjomba wangu hio siku ntatokeleaaaa mwenye jambo lake akasome π€£π€£!! Mie treinnnaaaaaaa!ππ
Wakora muno waitu!!
Ndio mjomba!!Nitengezeshe na manati na upinde wangu, ππππ haya shangazi nitakukumbusha, hapo nitakuwa idara ya shambani eeh
Aririririririiiiiiiiiiibado mwezi mmoko tu shangazi