Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilijiunga cha buku jero, hee hata sijatumia sana ghafla nashangaa kimeisha
Mimi usiku ninapolala huwa nasahau kuzima data maana unakuta naperuzi jf halafu usingizi unanichukua.
Kuamka asubuhi wanaiambia umetumia asilimia 100 ya bando lako🥺
 
Hii kazi kwanza mwili unajengeka vizuriii mawazo yanapungua 😁
Yaani wewe ni vijikazi tu vya nyumbani,kula,kuangalia movie na kulala.

Tena mchana unajipikia tu chakula chako,,wenye nyumba wengi hawashindi nyumbani mchana.

Na mshahara wako upo palepale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…