Selfika na JF: Snap it. Show it

Aisee pole sana huyo anaweza hata akakuletea mwizi ndani.
 
Mimi walinikata vocha yangu.
Nimeweka elfu 2 ili niunge bando,nadhangaa 300 haipo...
Nikawapigia hakuna sababu ya maana walionipa.
Nikaona Hawa hawanijui.
Nikakopa na Wala sina mpango wa kuwalipa.
Mie sijawahi kuwapigia ngoja niwapigie aisee... nikiona hivo huwa naandika tu ONDOA kwenye yale manamba yao wanaota tuma ma meseji yao sasa nashangaa nikituma ONDOA wanajibu sijajiunga na huduma yoyote sasa najiuliza 200 zangu kila leo zaenda wapi?? Ngoja namie niwapigie waniambie zinaishia IG Wakati hata situmii!!
 
Mimi nilijiondoa kwenye michezo yote na bado waliendelea kunikata
Hiyo siku nikapiga...Yule dada alijuta,,nilimbebesha lawama zote...halafu haniambii kwanini nimekatwa,anasema piga tena baada ya masaa mawili tuone kwanini wamekata.
 
Alishaondoka Hahaha! Mwamba mwenyewe alikua mume wa mtu huko katelekeza familia mke na watoto watatu! Siku nimerudi mkewe kaja kunilalamikia! Ukute nilikua nalisha nahio family yahuyo kwamba manina zake yule binti alijua kuninyoosha!
Na mshahara unamlipa.
De boss ledi unalisha familia ya njeπŸ˜‚πŸ’”
Mimi huwa nasema hakuna kazi nzuri kama uhiusegirl.

Kila kitu unapata Bure na mshahara wako haulipi Kodi.
 
Hatari mimi dada wa kazi nilishakataa kwanza ni mkali nahisi sitakaa nae hata week
Mimi mwenyewe huwa nasema nikiwa na kwangu sitaki housigeli..
Mimi pia ni mkali sana hasa pale mtu anapofanya tofauti na ninavyotaka.

Unakaa na mtu unakuta nyumba inakuwa chafu,anakuja kuongezea iwe chafu...aiseee mara mia nikomae na kazi zote mwenyewe kuliko mtu kuja kunifanyia hovyohovyo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…