π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£!!
Tena umenikumbusha Hebu niongee na walimu wanaorudi likizo wanipitie mafuta huko singida walau dumu 2!
Hapo bado dadaa wa Kazi hajamimina kama yanaokotwa tu jamani uwiiiii!!
Huyu naye anamimina ..yaani nyama zinaoga kwenye mafuta kama zipo mtoni ila mara mia amwage dada kuliko hawa wapuuzi wamesonga mafuta yote ya elfu 37π€£π€£π€£π€£
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£!!
Tena umenikumbusha Hebu niongee na walimu wanaorudi likizo wanipitie mafuta huko singida walau dumu 2!
Hapo bado dadaa wa Kazi hajamimina kama yanaokotwa tu jamani uwiiiii!!
Mie sasa huyu binti Yangu wa kazi na kina junia ni wanataka wali kila leoooo asubuhi mchana jioniii huwaambii ugali ni wali tu hawana mdaaaa!! Huku niliko uliza bei ya mchele sasa!! ππππ