ππ alafu watu wanadanganyika, alie waumba anatisha balaa acording to maandiko, ukija malaika wenye kwato na macho kila sehemu wana tisha kinoma, ukija malaika wenye sura nne na majicho jicho wanatisha kinoma.. sasa sijui huu uzuri wanaoita watu wana utaka wa nini πππ