Selfika na JF: Snap it. Show it

The Apostle was real. Pengine ni kwa sababu ya historia yake mwenyewe lakini barua zake nyingi ziko personal sana and he wasn't shy to be vulnerable.

Ulichogundua ni kitu cha msingi mno maana mara nyingi Mungu hupita mule mule kwenye madhaifu, majaribu na hata maanguko yetu katika kutuimarisha. We will never become diamonds in Christ without going through the intense heat and pressures of life. Wengi huwa tunalia na kuhangaika sana tunapokuwa katika kilele cha udhaifu na majaribu kumbe nguvu zetu na ushindi vimo humo humo.

Asante kwa kushea utafiti wako. It is real life changing!

 
πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™. Udhaifu upo pale kutufanya kuwa karibu na Mungu sio mbali na Mungu. Nitamtukuza Mungu kupitia madhaifu yangu, ataonekana Mungu kupitia madhaifu yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…