Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,902
Eeh[emoji849]Nawapenda nyie watu wawili [emoji23][emoji23] Lenie myoyambendi
Mko so sosho, and loyal
Shikamoo jirani…
Shoga angu hujambo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Poker masta wa kiherehere [emoji23][emoji23][emoji23]
Carrasco putin mr mitelezeo
Saint Anne cake jana ilikuwa tamu, nikijisikia kushea picha nitashea..
Heaven Sent ulezi mwema mama Abiud, mtoto aanze kutembea urejeee selfika [emoji3059]
🤣🤣🤣🤣🤣Eeh[emoji849]
Ma mchungaji huyu HS[emoji848]
Nilijua ni NuN
Kumbe nao utam kolea
Kwa sana tu[emoji1787]
Hiyo figure ya chiniWananila tu ila ipo siku yao watalia, nasoma mchezo tu hapa... hadi nimebaki na 200 [emoji2][emoji2][emoji2] ila najua nitazirudisha zoote siku si nyingiView attachment 2337191
Acha porojo zisizo na mantinki 😂😂Eeh[emoji849]
Ma mchungaji huyu HS[emoji848]
Nilijua ni NuN
Kumbe nao utam kolea
Kwa sana tu[emoji1787]
Mambo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wige Akili zako sasa [emoji2960][emoji2960][emoji2960]!!
Emu acha kunitaja tajaNational Anthem vp jana dimpoz Depal alitimba maghetoni au alikula nauli 😂
Mantiki ni nini[emoji848]Acha porojo zisizo na mantinki [emoji23][emoji23]
😀😀😀 hao kama hauna hela unafikiri wanakupa kitu 🤣🤣🤣🤣.. itakuwa kuna tajiri mmoja huko anajifyonzea kwa mrija majira kama haya kavaa kataulo kanyoosha tu miguu kwa sofa anasubiri supu ya pweza na mtori wa chapati badae ajimalizie kimoko au viwili watoke outNational Anthem vp jana dimpoz Depal alitimba maghetoni au alikula nauli 😂
Fresh Wige habari za wewe!✌️Mambo
😀😀😀 wamekula yote sasa ndio kilichobaki 🤣🤣🤣🤣Hiyo figure ya chini
Ndio bal.[emoji848]
Wakiwa wamevaa[emoji3][emoji3][emoji3] hao kama hauna hela unafikiri wanakupa kitu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].. itakuwa kuna tajiri mmoja huko anajifyonzea kwa mrija majira kama haya kavaa kataulo kanyoosha tu miguu kwa sofa anasubiri supu ya pweza na mtori wa chapati badae ajimalizie kimoko au viwili watoke out
Usitajwe tajwe unekuwa dhambi 🥸🥸Emu acha kunitaja taja
Mie mzima BLFresh Wige habari za wewe![emoji3577]
Watu wanajilia vizuri banaaa weeee.. wanakamuliwa maziwa yooote anatoka mtu out mwepesi kama karatasi.. wengine hapa wazito kama maweWakiwa wamevaa
Vikaptula vya vitenge
Hiyo tunapata zuchu[emoji3][emoji3][emoji3] wamekula yote sasa ndio kilichobaki [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nafurahi kusikia hivo mpendwa!✌️Mie mzima BL
shilingi 200 🤣🤣🤣🤣 watatapika hela yangu bado nina wasoma tuu.. naieoenda hela kuliko mchagaHiyo tunapata zuchu
G410 mbili au Mayele Howo tatu
😂 Umenikumbusha dada wa mapensi 😂 kweli muda ni mwalimu mzuri!Wakiwa wamevaa
Vikaptula vya vitenge