Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870



mie leo nimeonapo onapo kidogo,, jana ndiyo nilipitwa hadi nilichanganyikiwa..
Bahati mbaya leo nimechelewa sijaona vingi, nimeumia utadhani nimeibiwa pesa!!
kwenye uchafu nimekuelewa chief,, mie naongelea mpangilio..
Yuko lodge.mzee unaamka saa saba, af we msafi sana unalaliaje shuka jeupe, mabaharia tunalalia shuka la kijani/brown
Nini tenaOyooo nimeiwahi![]()
Kwa nini jamani mwenyewe nimeitoa watu wanasema watatoa emoji ukoNiliitoaa
Rangi ya mtumeHahaha sawa auntie View attachment 1256423
Sema ukweliAsante mdogo wangu, umeitendea siku yangu yaliyo mema, natoa likes bila uchoyo![]()
Hivi kweli uliiona auasavali umenitetea mwaya
Haya mambo ya kudolishiana pesa wakati mie nina ka jero kangu hapa sio mazuri kabisa.
hahah hamna nimezikunja tu ivo kwa mafungu sijazingatia mpangilio wa hao elephants![]()
My crush
Hahahaaa nilivyokua naangaliaIko wapiii