Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,211
SA alinambia vanilla kijiko k1, ujue yai linashombo sana 😂Inatosha D,si unatengeneza kwa robo au unataka likubwaaaa![]()
Mimi hata chips yai nikikuta tu ina ute ndani haikukauka vizuri, siwezi endelea kula

