Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,971
- 26,952
Wapenzi wee kuwa nao tuu lakini nachojua hawalambi asali kama unavyonipa




Wapenzi wee kuwa nao tuu lakini nachojua hawalambi asali kama unavyonipa




Kaka mkubwa akiongea ameongeaMdogo wangu ushachagua mimi nani wa kukataaa?? Ebu mkaribishe wifi yako mwambie hapa ndipo selfika
Asisahau kuselfika
Na hizo hesabu hapo ndo mahali pake

UpoMambo
Nipo mrembo. Mzima wewe?
Haya Usipepese hata kope Madam!!Nipo fanya mambo basi
Bado upo sis??
Mzima umeadimika ndio ulikuwa busy kumalizia ghetto lako😂😂😂😂msimu wa baridi kbla haujaisha🤣Nipo mrembo. Mzima wewe?
Wapi Saint Anne ?Rashfodiiiiiiiiii Carlos Tevez
Mwamba yuko onside kabisa bhanaMwamba huyu hapaaa 🤣🤣🤸🏻♀️
Checking possible offside
Mwamba - onside
Watu: weuweeeee 🤣🤣🤣🤸🏻♀️🤸🏻♀️
View attachment 2331702
Atakuwa analia sahivi 😂🤸🏻♀️🤸🏻♀️Wapi Saint Anne ?
Sasa si hawajaribu. Mpaka tunataka tuwasaidie tujifunge. Si ulimuona Fernandes pia?
Unakumbuka mbwembwe zake za jana lakini?Atakuwa analia sahivi 😂🤸🏻♀️🤸🏻♀️
Ba mdogo hii mikato sio ya mtu mshamba safiii.
Leo msipojifunga sijui 🙌Sasa si hawajaribu. Mpaka tunataka tuwasaidie tujifunge. Si ulimuona Fernandes pia?
WivuMan u leo wamepata kipozeo