Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,214
LJ 😂😂😂😂😂Nimeokoka mimi, shindwaaa.
Nenda na LJ 🤣🤣🤣🤣
LJ 😂😂😂😂😂Nimeokoka mimi, shindwaaa.
Nenda na LJ 🤣🤣🤣🤣
Ndio umbebe mwende nae 🤣🤣🤣LJ 😂😂😂😂😂
Albam ya pm hainogi mama mchungajiNimeshaku-pm album nzima nkamu. Kazi kwako
Ile machine hapana 🤣🙌Ndio umbebe mwende nae 🤣🤣🤣
Astaghafillulah 🙆♀️Tutunze mazingira!View attachment 2328279



Tunamtakia kila la heri binti yetuBweni la high school. Shule ya wasichana. Kila mtu na kachumba kake. Wanakaa wawili wawili tuvyumba tumetazamana. Wanashea choo, jiko, bafu na sebule.
Jikoni wana friji, microwave na jiko. Hawaruhusiwi kujipikia isipokuwa tu vitu vidogo vidogo (chai, mayai...)
Tumekumbatiana
Tumelia
Tukaagana
Mungu ni mwema
Misungwi here we come!
View attachment 2328301View attachment 2328302View attachment 2328306
Asante bageshi.Tunamtakia kila la heri binti yetu
Karibu Misungwi bageshi
Ewaaa, ahsante sana🥰🥰😂😂😂😂 sa tutasemaje? Tuseme tu ulezi mwema 💕
Kaa hapahapa basi🤣🤣Albam ya pm hainogi mama mchungaji
Selfie ya kugombania hapa mara paap imefutwa mara paap imewekwa bonge la emoj ndiyo inafaa hasa ukizingatia tumekumiss ebu fanya namna vijana wako😁
$1,800. Halafu hata mwaka hauishi wanatoa pro max 15 2TB.😊😊😊 Basi sawa umepata ondoa hofu na mashaka macho eyes matatu tu, Pro max 1TB kitu cha color gani vile
Deborah kwani ni muislam?Astaghafillulah 🙆♀️
Tulia 😂Deborah kwani ni muislam?
Mungu ni mwema sana. Another major milestone in your lives. To God be the Glory.Bweni la high school. Shule ya wasichana. Kila mtu na kachumba kake. Wanakaa wawili wawili tuvyumba tumetazamana. Wanashea choo, jiko, bafu na sebule.
Jikoni wana friji, microwave na jiko. Hawaruhusiwi kujipikia isipokuwa tu vitu vidogo vidogo (chai, mayai...)
Tumekumbatiana
Tumelia
Tukaagana
Mungu ni mwema
Misungwi here we come!
View attachment 2328301View attachment 2328302View attachment 2328306
Kuna uzi nilianzisha niliwambia iphone 14promax itafikia hiyo bei watu wakabisha.$1,800. Halafu hata mwaka hauishi wanatoa pro max 15 2TB.