myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,062
Salama kabisa jirani...kwako je.Jirani uhali gani
Salama kabisa jirani...kwako je.Jirani uhali gani
Wewe jirani weweee.......Hatutaki
I will be soldier for youIf they wanna be the Judas
If they wanna be the Pharaoh
Me, I cannot lay low
Me, I cannot do that









HallelujahMy prayer for you today:
May you receive good news about something your waiting for. May you be blessed in every area of your life. Jr![]()

Mimi mwenyewe nahisi walinipa mbichi.Hiyo ya soseji umenikumbusha ndugu yangu flani alikua hajawah kuziona, hyo siku kaenda kwa babe wake akawa anatafuta kitu cha kula kupekua kwa fridge akakuta soseji akawa anazishangaa akasema ale tu hizo hizo maana njaa ilimkamata, akaing'ata akakutana na ladha mbayaa kumbe aliila mbichi
Tangia siku hiyo ni akaichukia hali tena hata baada ya kuijulia vzuri
Nikitaka kumchokoza hua namkumbushia hiyo anajichekaa.
Sio mimi bana 🤣🤣🤣🤣🤣Na huyo mtu ni wewe 😂😂😂
Sema sasa ilikuwaje ukala soseji mbichi? Ilikuwa mwaka gani? 😂😂😂
Me niko poa jirani, karibu chaiSalama kabisa jirani...kwako je.
Hahahaa pole sanaMimi mwenyewe nahisi walinipa mbichi.
Toka kipindi hicho sikuwahi kula tena...juzi nimejaribu na Jana njaa imeniuma usiku halafu ndio zipo hizo tu.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Jibu ulipotelea wapi mrembo?Nipo mambo ni mengi,muda mchache
Kikubwa uzima/pumzi,Mungu ni mwema
😂😂😂🙌Wewe jirani weweee.......
Ni wewe LJ 🤣🤣🤣🤣🤣Sio mimi bana 🤣🤣🤣🤣🤣
Didi ake we acha tu, hujakutana na mashokolo mageni
LJ for life babyyyyyyyyNi wewe LJ 🤣🤣🤣🤣🤣
Asante sana jirani..Me niko poa jirani, karibu chai
Tukirudi ujue katoto kameanza mazoezi ya kukaa🤣🤣
Me naomba ya SilverHaya wadada wazuri kuna zawadi zenu hapo za macho matatuView attachment 2328147