Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
National Anthem kwani uko api, nimekusubiri adi nimechoka
Weee usinigombanishe na jirani yangu🤣🤣Wiziiiii
Upo wapi?Njoo unisalimie basi 🥸🥸🥸View attachment 2327310
Ngoja niitafuteNina haka ka mix tape ka zaidi ya dk 82
Ni ubarikio tosha..View attachment 2327306
Naendelea na zoezi hii likizo narudi modoooo😉😉!Upo wapi?
Nipo Uyole.
Uliupiga mwingi mno kunifariji..Mungu azidi kukubariki.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kama kawaidaNaendelea na zoezi hii likizo narudi modoooo!


😀😀😀😀 nibakizi nipo hapa corner ya pili kushoto juu kidogo pale chiniNational Anthem kwani uko api, nimekusubiri adi nimechoka View attachment 2327332
Lol! Nilishindwa huko baridi, baridi la njombe , sikufua dafu, mbeya kidogo kulikua na ka joto tunduma ni noma napo .. huo ukanda hongereni 😀😀😬Upo wapi?
Nipo Uyole.
Uliupiga mwingi mno kunifariji..Mungu azidi kukubariki.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Speed ni kubwaNilikupigia jana sema hukuonekana !!
Nataka libaki flattt kabisa Sijui litakubali!!




Baridi imeisha kabisaLol! Nilishindwa huko baridi, baridi la njombe , sikufua dafu, mbeya kidogo kulikua na ka joto tunduma ni noma napo .. huo ukanda hongereni![]()
Labda mbeya , maana penyewe nilitoka hata ndani kushangaa shangaa ila huko kwingine sikutaka hata kutoka chumbani 🥴🥴
Weee kitambi kilikua kikubwa sana hadi mkanda umetanuka hatarii sema kama umeloose kuna vijisehemu vya kubana zaidi kadri utakavyo !Speed ni kubwa
Punguza speed dada
Unakwenda kufunika nane zote za mchongo
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kimbiaaaaaa ukichelewa utakuta manyoya😀😀😀😀 nibakizi nipo hapa corner ya pili kushoto juu kidogo pale chini
one of the very overrated food 🤣🤣🤣National Anthem kwani uko api, nimekusubiri adi nimechoka View attachment 2327332
Namalizia lotus latte😋😋Kimbiaaaaaa ukichelewa utakuta manyoya
Em njoo tuongeze weight😂😂one of the very overrated food 🤣🤣🤣
Ipoje hyo, na me natakaNamalizia lotus latte😋😋
Labda mbeya , maana penyewe nilitoka hata ndani kushangaa shangaa ila huko kwingine sikutaka hata kutoka chumbani![]()



W
Weee kitambi kilikua kikubwa sana hadi mkanda umetanuka hatarii sema kama umeloose kuna vijisehemu vya kubana zaidi kadri utakavyo !



Wee tumboni ubaki hivohivoooo kitambi sio kabisa!! !!
Tunabadilishana..
Mimi nipo kukikusanya kitambi.
Umeupiga mwingi
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app

!! Nikuoneshe sampo ya kitambi ucheke???
