Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Tunatimiza agizoHiki kipindi cha baridi wana mimba kweli kweli wanelea watoto wa tumboni so utaona panapoa poa sana hapa
Tunatimiza agizoHiki kipindi cha baridi wana mimba kweli kweli wanelea watoto wa tumboni so utaona panapoa poa sana hapa
Vibaya hivoo Jamanii!! Basi hata lile jicho la kunguuu 😉!Sitaki 😂😂
Enendeni mkaijaze dunia 😂Tunatimiza agizo
Ndiwooooo😛Enendeni mkaijaze dunia 😂
👀 hilo hapoVibaya hivoo Jamanii!! Basi hata lile jicho la kunguuu 😉!
Mie nipo nahesabu miezi hapa.. tulete zawadi za watoto vichangaMhmhmhmhmhmhhmhm!!
twende zetu mahala tukala mihogo, hii inatosha ?Tunatimiza agizo
Umevuta bange leo??🤔🤔 Ndio macho gani hayo???👀 hilo hapo
By March April May next year 🧑🍼💃Mie nipo nahesabu miezi hapa.. tulete zawadi za watoto vichanga
4m mihogo tu 🤣 ni mnaenda kula mihogo ya Mars ama pluto?twende zetu mahala tukala mihogo, hii inatosha ? View attachment 2327216
Mambo yako nakuachia mwenyewe! Mdindo 🙌🙌😉!Tena ule mdindo wa asubuhi… unakuwaga nga nga ngaaa sana 🤣🤣
Kumbe unapitaga kule na hausemi? Uwe unatoa hata like basiNamjuaaa 😂😂😂 nikizururaga huko nakuona..
Kule nafikaga kuona venye wanaume wana trick gani, ili mbinu za kuchomoa zitafutwe
Ukute ushasababisha mahala mjomba umejuaje??? Hahaha ... hongeraaaMie nipo nahesabu miezi hapa.. tulete zawadi za watoto vichanga


Aweee😍😍😍twende zetu mahala tukala mihogo, hii inatosha ? View attachment 2327216
He! jirani tuone..Sitaki 😂😂
🤣🤣🤣🤣Tena ule mdindo wa asubuhi… unakuwaga nga nga ngaaa sana 🤣🤣
Napitaga 🤣🤣🤣 ikitokea nimelike ujue hiyo comment nitareply, ikiwa sivyo basi napita kimyaKumbe unapitaga kule na hausemi? Uwe unatoa hata like basi