Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,223
Asubuhi nimekunywa maji moto yaliyochanganywa na unga wa nido 😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Didi ake umekunywa nini leo asbh kwani
Asubuhi nimekunywa maji moto yaliyochanganywa na unga wa nido 😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Didi ake umekunywa nini leo asbh kwani
😂 na ninavyo yaegeshaga, heri tu uyaache kabla hayajakudondokeaMambo yako nakuachia mwenyewe! Mdindo 🙌🙌😉!
Ni macho yangu hayo nikivutaga bange 🤣🤣Umevuta bange leo??🤔🤔 Ndio macho gani hayo???
🤣🤣🤣🤣😂 na ninavyo yaegeshaga, heri tu uyaache kabla hayajakudondokea
Achana na nido inakuharibuAsubuhi nimekunywa maji moto yaliyochanganywa na unga wa nido 😂😂😂
😀😀😀 ndio ivyo mihogo Pro Max 1TB4m mihogo tu 🤣 ni mnaenda kula mihogo ya Mars ama pluto?
Unajichetua vizuri sana! Keep it up!na ninavyo yaegeshaga, heri tu uyaache kabla hayajakudondokea




Mie 😳😳😳 mie sina uwezo wa kuzalisha na hata kidudu hakisimami na kikisimama second kinalala tena.. mie shabikintuUkute ushasababisha mahala mjomba umejuaje??? Hahaha ... hongeraaa![]()
Ndimu natoa wapi ?😂😂😂Achana na nido inakuharibu
Kesho jaribu maji ya moto yaliyochanganywa na asali na ndimu
Emu tuone picha ya hiko kidudu kisichosimamaMie 😳😳😳 mie sina uwezo wa kuzalisha na hata kidudu hakisimami na kikisimama second kinalala tena.. mie shabikintu
Acha kukenua, emu selfika🤣🤣🤣🤣
Subiri hapo hapo namalizia kumtapeli msukuma wa misungwi hapa 😀😀Aweee😍😍😍
Itatosha kabisa hyo na juice ya miwa😋
Nipitie hapa pls, lunch time inakaribia.
SawaUnajichetua vizuri sana! Keep it up!
Sema nini
Niko palee nasubiria yanidondokee![]()
Hongera!Ni macho yangu hayo nikivutaga bange![]()
Nitapigwa ban ya milele.. ila unavyo hutu ndio chenyewe kipo hivi hiviEmu tuone picha ya hiko kidudu kisichosimama
Mie sijazungumzia kidudu ujue!!! PoleeMiemie sina uwezo wa kuzalisha na hata kidudu hakisimami na kikisimama second kinalala tena.. mie shabikintu
Hutu tunakuwaga tutamuNitapigwa ban ya milele.. ila unavyo hutu ndio chenyewe kipo hivi hiviView attachment 2327281
🥹🥹🥹🥹 jamaniMie sijazungumzia kidudu ujue!!!
Ooh nilisahau kumbe uko ushuani, my bad!Ndimu natoa wapi ?😂😂😂
Nido na maji ya moto vinatolewa bure hapa..