Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,974
Hivi ni mtani wangu kumbeMie nawazoom tuu aki, mtu na mtani wake!
Hivi ni mtani wangu kumbeMie nawazoom tuu aki, mtu na mtani wake!
Ndiwooo nao ni wambea hawataki kupitwa
Mimi nimeshafika jamani kwa wakalaHebu sogea kwa wakala shap kwa haraka
Notification sipati hata nimefukua fukua makaburi tu mwenyeweAiseee...ilipokuwepo picha
Bado wako busy na kuuza vitabuvuta subira...
halafu yule 'mshikaji' wako hajatoa tena mzigo?
Hapa nilipoHospital gani
Lini hiyo napitwa mimi nina siku mbili sijaingia humuHukuona yule alimkubali Sak....hadi akaibuka hadharani
Kumbee ni mjeda banaBora ulivyokuja jana niliingia humu juu nilikuwa busy mnoo niliona umetupia picha ukafuta ebu rudisha ukawa unaitwa mjeda
Ujue nikiingia humu nipo free nikiwa busy siwezi jamani nitagombana na wateja wangu uko
ni kweli ila umekufaa sanaSio nywele zangu hzo ni rasta tu
Hata sielewi mimi jamaniHivi ni mtani wangu kumbe
MmmhhhLini hiyo napitwa mimi nina siku mbili sijaingia humu
Cha kazi dadaKibarua cha nini
Hahahaaa mjeda au mlima choroko na kunde kilindi tanga.Bora ulivyokuja jana niliingia humu juu nilikuwa busy mnoo niliona umetupia picha ukafuta ebu rudisha ukawa unaitwa mjeda
Ujue nikiingia humu nipo free nikiwa busy siwezi jamani nitagombana na wateja wangu uko
Leo unatembelea nyota yangu dadaMimi nimeshafika jamani kwa wakala
Eenh...kwani si kuna mpya na ya zamani?
Nani huyo etiHukuona yule alimkubali Sak....hadi akaibuka hadharani
Mama ake!Kumbee ni mjeda bana