Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,278
- 108,286
Mkuu bajeti yako wewe ipo kubwa sana sinilikuomba unipeleke maeneo fulani. Hiyo ahadi lazima itimie don't panicEbu ngoja kwanza kwahiyo sakayo wa kwako sasa hivi



mnipimie nini sasa??
We bado mgeni, kaa kama miaka miwili hivi....tukupimie
#WhoShotGhost?Na huku kulia jamani mabega yale halafu inaonyesha ni mtu wa mazoezi
Hela safi iko B.O.T haijatoka badombona hela chafu hivo
Ila hii thread ina wasomaji wa kimyakimya wanaoifatilia kuliko wachangiaji
Huoni no uko za walioview thread
Umewaonaje eti
Bado unanikumbuka
Hivi ulinitag wapi mbona sijaonaHalafu wewe ...sijui kwa nini nilikutag![]()
forest mpya??
Hahaha...Forest Mpya
EeeenhMkuu bajeti yako wewe ipo kubwa sana sinilikuomba unipeleke maeneo fulani. Hiyo ahadi lazima itimie don't panic
Mods mkuje mseme ukweliHuoni no uko za walioview thread
Connection utaipata tu
Hebu fanya kama unatania Mkuu!
Nipe connection hebu!
Hasa hasa mods, halafu hawajui kama tunawaona


Ndiwooo nao ni wambea hawataki kupitwa