Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Mkuu hela ni hela tu iwe safi au chafumbona hela chafu hivo
Mkuu hela ni hela tu iwe safi au chafumbona hela chafu hivo
Mie sijaona jamaniAu nimeangalia vibaya dada
KabisaaaHili la moyoni
Si text za mwisho nilizotuma uko nimeomba msamaha nikajua ni pm jamani
Msamaha upi eti jamani, mekusamehe mimi jamani!!
Umefanana na nesi mmoja jina lake la kwa kwanza linaanza na D la pili M.
Na huku kulia jamani mabega yale halafu inaonyesha ni mtu wa mazoeziMie sijaona jamani
Meangalia shingo na kichwa
Good morning!View attachment 1256247
Hahahaa mama Mchungaji wa kanisa gani hilo; mbona waumini watakuwa na shida sana?
Dah... Ingizo jipya hiloadorabella geuza kidogo shingo kisha shusha camera chini kidogo Picha itatoka vizuri sana
Dada wa unywele...yo back!!!
Ila hii thread ina wasomaji wa kimyakimya wanaoifatilia kuliko wachangiaji