Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,165
Mkuu hela ni hela tu iwe safi au chafumbona hela chafu hivo
Mkuu hela ni hela tu iwe safi au chafumbona hela chafu hivo
Nimeuona mkono wake Bwanaaaaaa.
Lazima nikulipe na kitenge
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hili la moyoniHebuu hukoo!
Unataka upewe wewe tuu jamani
Mie sijaona jamaniAu nimeangalia vibaya dada
Kabisaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hili la moyoni
Si text za mwisho nilizotuma uko nimeomba msamaha nikajua ni pm jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Msamaha upi eti jamani, mekusamehe mimi jamani!!
Umefanana na nesi mmoja jina lake la kwa kwanza linaanza na D la pili M.
Mwenyewe
Muone kwanza
Na huku kulia jamani mabega yale halafu inaonyesha ni mtu wa mazoeziMie sijaona jamani
Meangalia shingo na kichwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kabisaaa
mbona hela chafu hivo
Good morning!View attachment 1256247
Hahahaa mama Mchungaji wa kanisa gani hilo; mbona waumini watakuwa na shida sana?
Dah... Ingizo jipya hilo[emoji39][emoji39][emoji39] adorabella geuza kidogo shingo kisha shusha camera chini kidogo Picha itatoka vizuri sana
Shem[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Dada wa unywele...yo back!!!
Ila hii thread ina wasomaji wa kimyakimya wanaoifatilia kuliko wachangiaji