Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,272 Aug 15, 2022 #251,581 Saint Anne said: Nitaangalia marudio kesho Mzungu wa mchongo Click to expand... Achana na mambo ya simba Angalia.. mechi ilikuwa nzuri,, hadi chamdeko Kai leo amecheza tu vizuri
Saint Anne said: Nitaangalia marudio kesho Mzungu wa mchongo Click to expand... Achana na mambo ya simba Angalia.. mechi ilikuwa nzuri,, hadi chamdeko Kai leo amecheza tu vizuri
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Aug 15, 2022 #251,582 myoyambendi said: Click to expand... Tunakoelekea baridi itafunga mabao 10 kama Netball halafu sisi wanambeya bila bila
myoyambendi said: Click to expand... Tunakoelekea baridi itafunga mabao 10 kama Netball halafu sisi wanambeya bila bila
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Aug 15, 2022 #251,583 Saint Anne said: Ukitembea ukisimama yanayumba Yaani matege yanahitaji moyo Click to expand... 🤣🤣🤣🤣 acha tu, me tege langu nishalizoea maana lilinitesa sana mwanzoni Inabidi tu kukubaliana na hali, muhimu kulijulia jinsi ya kusimama ukiwa mbele za watu😂
Saint Anne said: Ukitembea ukisimama yanayumba Yaani matege yanahitaji moyo Click to expand... 🤣🤣🤣🤣 acha tu, me tege langu nishalizoea maana lilinitesa sana mwanzoni Inabidi tu kukubaliana na hali, muhimu kulijulia jinsi ya kusimama ukiwa mbele za watu😂
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,272 Aug 15, 2022 #251,584 Lenie said: 😂😂😂 raha jipe mwenyew. Makasiriko yanazeesha sura Click to expand... Lakini wewe dada muda wote unejaa tabasamu...safi sana
Lenie said: 😂😂😂 raha jipe mwenyew. Makasiriko yanazeesha sura Click to expand... Lakini wewe dada muda wote unejaa tabasamu...safi sana
Beeb JF-Expert Member Joined Aug 18, 2018 Posts 29,393 Reaction score 59,137 Aug 15, 2022 #251,585 Glenn said: Haisaidii nahitaji kumbatoo Click to expand... Ohooooo......
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,272 Aug 15, 2022 #251,586 Lenie said: 😂😂😂 raha jipe mwenyew. Makasiriko yanazeesha sura Click to expand... Ishi humo 🤣🤣🤣
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,272 Aug 15, 2022 #251,587 Rumaiya said: Ohooooo...... Click to expand... Fanya haraka eee
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,272 Aug 15, 2022 #251,588 Lenie said: 🤣🤣🤣🤣 acha tu, me tege langu nishalizoea maana lilinitesa sana mwanzoni Inabidi tu kukubaliana na hali, muhimu kulijulia jinsi ya kusimama ukiwa mbele za watu😂 Click to expand... Mbona sijawahi kuliona? Au ukisimama unaliweka mfukoni?
Lenie said: 🤣🤣🤣🤣 acha tu, me tege langu nishalizoea maana lilinitesa sana mwanzoni Inabidi tu kukubaliana na hali, muhimu kulijulia jinsi ya kusimama ukiwa mbele za watu😂 Click to expand... Mbona sijawahi kuliona? Au ukisimama unaliweka mfukoni?
myoyambendi JF-Expert Member Joined Sep 13, 2013 Posts 174,792 Reaction score 721,062 Aug 15, 2022 #251,589 Saint Anne said: Tunakoelekea baridi itafunga mabao 10 kama Netball halafu sisi wanambeya bila bila Click to expand... Jirani vaa jacket utaishinda tu...
Saint Anne said: Tunakoelekea baridi itafunga mabao 10 kama Netball halafu sisi wanambeya bila bila Click to expand... Jirani vaa jacket utaishinda tu...
S Silikwako JF-Expert Member Joined Apr 10, 2020 Posts 1,574 Reaction score 3,600 Aug 15, 2022 #251,590 Kuna watu watakuja kuaibika vibaya humu wangejua! wangefunga tu bakuli zao
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Aug 15, 2022 #251,591 Depal said: Emu tuone hiyo namna Click to expand... Nilishaweka huko juu...sema nimegundua suruali kidogo yanazuia yanaonekana ya mchongo. Ila sketi aisee inalichora kma lilivyo pure bila kupunguza makali.
Depal said: Emu tuone hiyo namna Click to expand... Nilishaweka huko juu...sema nimegundua suruali kidogo yanazuia yanaonekana ya mchongo. Ila sketi aisee inalichora kma lilivyo pure bila kupunguza makali.
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,272 Aug 15, 2022 #251,592 Lenie said: 🤣🤣🤣🤣 acha tu, me tege langu nishalizoea maana lilinitesa sana mwanzoni Inabidi tu kukubaliana na hali, muhimu kulijulia jinsi ya kusimama ukiwa mbele za watu😂 Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣
Lenie said: 🤣🤣🤣🤣 acha tu, me tege langu nishalizoea maana lilinitesa sana mwanzoni Inabidi tu kukubaliana na hali, muhimu kulijulia jinsi ya kusimama ukiwa mbele za watu😂 Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,272 Aug 15, 2022 #251,593 Saint Anne said: Tunakoelekea baridi itafunga mabao 10 kama Netball halafu sisi wanambeya bila bila Click to expand... Huu mwezi uishe tu.. mtu unavaa unapendeza,, ukitoka nje unajikuta usharudi ndani kutafuta msweta
Saint Anne said: Tunakoelekea baridi itafunga mabao 10 kama Netball halafu sisi wanambeya bila bila Click to expand... Huu mwezi uishe tu.. mtu unavaa unapendeza,, ukitoka nje unajikuta usharudi ndani kutafuta msweta
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Aug 15, 2022 #251,594 Glenn said: Lakini wewe dada muda wote unejaa tabasamu...safi sana Click to expand... Life is beautiful, wacha tufurahie tu ndio furaha na baraka zaidi zitatumiminikia😍
Glenn said: Lakini wewe dada muda wote unejaa tabasamu...safi sana Click to expand... Life is beautiful, wacha tufurahie tu ndio furaha na baraka zaidi zitatumiminikia😍
myoyambendi JF-Expert Member Joined Sep 13, 2013 Posts 174,792 Reaction score 721,062 Aug 15, 2022 #251,595 Lenie said: Life is beautiful, wacha tufurahie tu ndio furaha na baraka zaidi zitatumiminikia😍 Click to expand... Sawasawa jirani..
Lenie said: Life is beautiful, wacha tufurahie tu ndio furaha na baraka zaidi zitatumiminikia😍 Click to expand... Sawasawa jirani..
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,272 Aug 15, 2022 #251,596 Saint Anne said: Nilishaweka huko juu...sema nimegundua suruali kidogo yanazuia yanaonekana ya mchongo. Ila sketi aisee inalichora kma lilivyo pure bila kupunguza makali. Click to expand... Sketi labda iwe fupi, ndefu sidhani kama ina shida..
Saint Anne said: Nilishaweka huko juu...sema nimegundua suruali kidogo yanazuia yanaonekana ya mchongo. Ila sketi aisee inalichora kma lilivyo pure bila kupunguza makali. Click to expand... Sketi labda iwe fupi, ndefu sidhani kama ina shida..
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Aug 15, 2022 #251,597 Depal said: Ishi humo 🤣🤣🤣 Click to expand... Ndiooo didi ake
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Aug 15, 2022 #251,598 myoyambendi said: Sawasawa jirani.. Click to expand... Jirani hujalala
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,272 Aug 15, 2022 #251,599 Lenie said: Life is beautiful, wacha tufurahie tu ndio furaha na baraka zaidi zitatumiminikia😍 Click to expand... Yes nakucheki sana karibu kila post yaki na tabasamu juu. Safi sana
Lenie said: Life is beautiful, wacha tufurahie tu ndio furaha na baraka zaidi zitatumiminikia😍 Click to expand... Yes nakucheki sana karibu kila post yaki na tabasamu juu. Safi sana
myoyambendi JF-Expert Member Joined Sep 13, 2013 Posts 174,792 Reaction score 721,062 Aug 15, 2022 #251,600 Lenie said: Jirani hujalala Click to expand... Niko na Laliga jirani..bado.