Na uzuri mtoto mwenyewe ana roho ya kizungu yani kama malaika flani.. hana roho nyeusi.. yupo poa ukipiga busu anakupa busu hana nomaa kabisaa.. πππ
Na uzuri mtoto mwenyewe ana roho ya kizungu yani kama malaika flani.. hana roho nyeusi.. yupo poa ukipiga busu anakupa busu hana nomaa kabisaa.. πππ
πππ Umeonaaa, mrembo kama huyu hutokuta anazeeka yani kila siku kama kigori, maana moyoni hana baya wala uchungu, ana generate u binti kila siku kwenye mwili wake na roho yake..