View attachment 2322956
Wacha tufanye mpango tumtunuku Doctorate degree (PhD) ya heshima Bwana P-Funk Majani kutokana na kazi kubwa aliyoifanya kwenye huu mziki wa vijana, Bongo Flavour. Hadi sisi Wazee tunafurahia "vionjo" vyake Kwa kweli
Ubunifu wa beat kwenye hii nyimbo ni wa hali Juu, ingawa na mashairi yaliyotumika pia yanahamasisha/kukumbusha umuhimu wa Vijana wa Kiume kujitafutia maisha bila kuchoka
Guys, it's already weekend