Wee nyie candidates class mmewabakiza?? Mimi nina candidate class form 4 ila huwa sibakigi hata iweje pia Nashukuru nina likizo june mwaka huu si unajua ilisogezwa august!!
Sie wote wamefunga halafu shuleni kwetu ni moja ya kituo cha semina za sensa so huwa wanaenda wanafunzi wa zamu tu kufanya usafi!!