Gallius
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,999
- 8,353
Kampala ujipangeeee totoz zimechachuka vibaya mnooo!! Hela yako tu mkuu!
Bila shaka 750k UG itanitosha nikiinga ijumaa then jumamosi nageuka TZ …
Maana ni jirani na hapa…
Kampala ujipangeeee totoz zimechachuka vibaya mnooo!! Hela yako tu mkuu!
Nipo shamba huku hadi nitoke sio leo
Tufanye siku ingine nikusuprise
Nakubal mdogo wangu ndyo maana nakukubal kuliko wanawake wote dunianiNipo shamba huku hadi nitoke sio leo
Tufanye siku ingine nikusuprise
Thank you be blessedPambana
Nakushuru ndugu yanguNakubal mdogo wangu ndyo maana nakukubal kuliko wanawake wote duniani
Yeahhh inatosha sana! Na watakupaparikia mpaka basi wakishaona huyu Ssebbo ni Mtzii weeee!!Bila shaka 750k UG itanitosha nikiinga ijumaa then jumamosi nageuka TZ …
Maana ni jirani na hapa…
Asante Sana sisAkuje tu kwakweli uwepo wenu hapa ni muhimu sana wapendwa!
Yeahhh inatosha sana! Na watakupaparikia mpaka basi wakishaona huyu Ssebbo ni Mtzii weeee!!
Thank you be blessed
Yeahhh atakua bize mr Vocha hanaga tabu na mtu atakuja tu!! Ila usitususe kiivo buana!Asante Sana sis
Labda yupo busy
Hahaa mie nimetoka huko leo mkuu naona tunapishanaTwende uwe mwenyeji wangu..
Hapo naona baadhi ya vijiji vya UG other side border..
View attachment 2317150
Asante kwa kunipa MoyoChapa kazi mamaa, mema yanakuja
Nitakuwa nakuja kuwasalimia mara moja .Yeahhh atakua bize mr Vocha hanaga tabu na mtu atakuja tu!! Ila usitususe kiivo buana!
Karibu sana!! Hio mara moja moja kwioooo!! 🙄🙄 Hatutaki mara moja uje Mara nyingi banaa!!Nitakuwa nakuja kuwasalimia mara moja .
Selfika ndo nyumbani