Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
Sasa si uwapigie simu jaman hali mbaya ndyo Kwanza hata tarehe 10 bado


Sasa si uwapigie simu jaman hali mbaya ndyo Kwanza hata tarehe 10 bado


Asante sana PutinPoleni sana hope atakua poa tu![]()
Hapo tu ndio wanafeliii! Hawajui kabisa kupika huku vyakula vyao vingi wanachemshaaa afu vibayaaaa the same applies to Uganda!! Mie pia huku sijisumbuagi kabisa kula sijui mama ntilie labda uende hotel kubwa kubwa otherwise mapishi bukoba ni zirooooo!!Kwa yule dada nilifika hapo siku moja vyakula vya kagera vishanishinda, upikaji wa ajabu sijapata wahi ona…
Watakuja tu usijali !! Mr vocha fanya urudi jamani Vijana hali tetee hukuu!!Sasa si uwapigie simu jaman hali mbaya ndyo Kwanza hata tarehe 10 bado![]()
Amekuwa adimu sana siku hizi. Japo juzi alipita kusalimiaTinsley mdogo wangu njoo unibless
Lol bora umekuja Tins sio kwa kutususa hukuu! Bila shaka Mr vocha nae atatia timu soon!Nikubless na kipi kaka mkubwa
Hapo tu ndio wanafeliii! Hawajui kabisa kupika huku vyakula vyao vingi wanachemshaaa afu vibayaaaa the same applies to Uganda!! Mie pia huku sijisumbuagi kabisa kula sijui mama ntilie labda uende hotel kubwa kubwa otherwise mapishi bukoba ni zirooooo!!
Assssaaaaaaanteeeehhhh!!! Umenougaaa 💃💃😘
Ni walewale tu!! Tofauti rangi tu wa karagwe wengine ni weupeeKesho nafika karagwe ngoja nikajione mapishi yao
Wee upo missenyi kumbe hahahaaa!! Za Uganda zimejaa tele hapo bei yako tu! Mie hata sio mtembeaji kabisa hapo huwezi amini sijawahi ingia huwa naona tu nikiwa napita toka Ug kwenda Bk!
Nipo dear naingia kwa manatiLol bora umekuja Tins sio kwa kutususa hukuu! Bila shaka Mr vocha nae atatia timu soon!
Karibu sana dear!!
Kampala ujipangeeee totoz zimechachuka vibaya mnooo!! Hela yako tu mkuu!Nimekuja kutalii, ila watani zangu hawa wana maisha ya kipekee mno. Siku nikiingia kampala then mbarara huwenda nikajihisi nipo tofouti..
Njoo unishukuru pmAsante sana Putin

Kwa vocha tuNikubless na kipi kaka mkubwa
Ndio sikuhizi haingii fanya kutuletea mara moja moja jamani!! Sijui mmekuwaje selfika!!Nipo dear naingia kwa manati
Nimewamiss humu Sana tu
Kwani haingii Mr .vocha
Nipo shamba huku hadi nitoke sio leoKwa vocha tu
Umeona ehhh Kuna njemba ilimfichaAmekuwa adimu sana siku hizi. Japo juzi alipita kusalimia