Omerta
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 6,156
- 7,807
😅😅😅Byuti byuti..!
😅😅😅Byuti byuti..!
Niwache mamdo hebu selfika bana!!😉😉Duhhh Kwan wa mtaani ndyo hatakuwinda Shem
Note za pesa nyingiii.Na picha!!
Awapi ndogo sana hizo!Note za pesa nyingiii.
Nimeshaselfika mdogo wangu nenda kwa mumeo Poker upate upako wa jumapili yupo Lodge room namba 8 fanya chapuNiwache mamdo hebu selfika bana!!![]()
Mwambie aje pm Nina vocha zakecocastic unaitwa hukuuuu

Namba kubwa. Upo mitaa ya huko?Awapi ndogo sana hizo!
Weee mwenyewe Vocha!!Mwambie aje pm Nina vocha zake![]()
Nilikuepo nishatoka!!Namba kubwa. Upo mitaa ya huko?
Sinletee hekaheka za jf mamdo pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
!! Habare za kuchat kwa kuwindana kama digidigi setrakeee![]()
Kukoseshana uhuru usio na kichwa wala masikio Akhaaaaa!
Mtu mlikua mnachati vizuri mnacheka vizuri mnataniana vizuri ukikubali tu sahauuuu
Jf siwawezi kabisa!!






nimecheka shougaaaa angu, kwan una uzoefu na hilo??Wee mwenyewe unalilia vocha humu, lol.Mwambie aje pm Nina vocha zake![]()






khaaaah😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣 Inahitaji kujitoa ufahamu shoss hahahaaaa!!nimecheka shougaaaa angu, kwan una uzoefu na hilo??
Nimecheka sana avosema vocha!!Wee mwenyewe unalilia vocha humu, lol.
khaaaah
Furahi tu shoss Angu!!Umejua kunifurahisha shougaaaaaa angu.![]()
Inahitaji kujitoa ufahamu shoss hahahaaaa!!
Umecheka kuwindana ka digidigii!
Hizo hekaheka sitaki kuzirudia kabisa mie Humu Bora Uwe kivyako usitabirike shoss angu!!!!






sasa humu ukiwa na mchumba, inabidi ujizime data, bas mambo yanakua buli buli.